Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Isaya 32:12 - Swahili Revised Union Version

12 Watajipiga vifua kwa ajili ya mashamba mazuri, kwa ajili ya mzabibu uliozaa sana.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

12 Jipigeni vifua kwa huzuni, ombolezeni, kwa sababu ya bustani zilizokuwa nzuri, kwa mizabibu iliyokuwa ikizaa sana,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

12 Jipigeni vifua kwa huzuni, ombolezeni, kwa sababu ya bustani zilizokuwa nzuri, kwa mizabibu iliyokuwa ikizaa sana,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

12 Jipigeni vifua kwa huzuni, ombolezeni, kwa sababu ya bustani zilizokuwa nzuri, kwa mizabibu iliyokuwa ikizaa sana,

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

12 Pigeni vifua vyenu, mlilie mashamba yenu mazuri, kwa ajili ya mizabibu iliyozaa vizuri

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

12 Pigeni matiti yenu kwa ajili ya mashamba mazuri, kwa ajili ya mizabibu iliyozaa vizuri

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

12 Watajipiga vifua kwa ajili ya mashamba mazuri, kwa ajili ya mzabibu uliozaa sana.

Tazama sura Nakili




Isaya 32:12
11 Marejeleo ya Msalaba  

Tazama, BWANA ameifanya dunia kuwa tupu, aifanya ukiwa, aipindua, na kuwatawanya wakaao ndani yake.


Divai mpya inaomboleza, mzabibu umedhoofika, watu wote waliochangamka moyo wanaugua.


Juu ya nchi ya watu wangu itamea michongoma na mibigili; naam, juu ya nyumba za furaha katika mji ulio na shangwe;


Macho yangu yamechoka kwa machozi, Mtima wangu umetaabika; Ini langu linamiminwa juu ya nchi Kwa uharibifu wa binti ya watu wangu; Kwa sababu watoto wachanga na wanyonyao, Huzimia katika mitaa ya mji.


Tena niliwainulia mkono wangu jangwani, ya kwamba sitawaingiza katika nchi ile niliyokuwa nimewapa, itiririkayo maziwa na asali, ambayo ni utukufu wa nchi zote;


katika siku ile niliwainulia mkono wangu, kuwatoa katika nchi ya Misri, na kuwaingiza katika nchi niliyowapelelezea, itiririkayo maziwa na asali, ambayo ni utukufu wa nchi zote;


Ameuharibu mzabibu wangu; ameuvunja mtini wangu; ameyaambua magamba yake kabisa; ameuangusha chini; matawi yake yamefanywa kuwa meupe.


Husabu naye amefunuliwa, anachukuliwa, na wajakazi wake wanalia kama kwa sauti ya hua, wakipigapiga vifua vyao.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo