Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Isaya 3:25 - Swahili Revised Union Version

25 Watu wako wanaume wataanguka kwa upanga, na mashujaa wako vitani.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

25 Wanaume wenu wataangamia kwa upanga, watu wenu wenye nguvu watakufa vitani.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

25 Wanaume wenu wataangamia kwa upanga, watu wenu wenye nguvu watakufa vitani.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

25 Wanaume wenu wataangamia kwa upanga, watu wenu wenye nguvu watakufa vitani.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

25 Wanaume wako watauawa kwa upanga, nao mashujaa wako watauawa vitani.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

25 Wanaume wako watauawa kwa upanga, nao mashujaa wako watauawa vitani.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

25 Watu wako wanaume wataanguka kwa upanga, na mashujaa wako vitani.

Tazama sura Nakili




Isaya 3:25
12 Marejeleo ya Msalaba  

Peka mwana wa Remalia akawaua katika Yuda siku moja watu elfu mia moja na ishirini, mashujaa wote; kwa sababu walikuwa wamemwacha BWANA, Mungu wa baba zao.


Kwa kuwa, tazama, baba zetu wameangamia kwa upanga, na wana wetu, na binti zetu, na wake zetu wametekwa kwa ajili ya hayo.


bali kama mkikataa na kuasi mtaangamizwa kwa upanga; maana kinywa cha BWANA kimenena haya.


mimi nitawaandikia kuuawa kwa upanga, na ninyi nyote mtainama ili kuchinjwa; kwa sababu nilipoita hamkuitika; niliponena, hamkusikia; bali mlitenda yaliyo mabaya machoni pangu, mlichagua mambo nisiyoyafurahia.


Kwa sababu hiyo BWANA wa majeshi asema hivi, Tazama, nitawaadhibu watu hawa; vijana watakufa kwa upanga; wana wao na binti zao watakufa kwa njaa;


Nikitoka kwenda shambani, tazama, wako huko waliouawa kwa upanga! Na nikiingia mjini, tazama, wamo humo wanaougua kwa sababu ya njaa! Maana nabii na kuhani, wote wawili, huenda huku na huko katika nchi, wala hawana maarifa.


Wajane wao wameongezeka kwangu kuliko mchanga wa bahari; nimeleta mwenye kuteka wakati wa adhuhuri juu ya mama wa vijana; nimeleta uchungu na hofu kuu impate ghafla.


Kwa sababu hiyo, uwatoe watoto wao waone njaa, uwatoe nguvu za upanga ziwapate; wake zao wafiwe na watoto wao, na kufiwa na waume zao; wanaume wao wauawe, na vijana wao wapigwe kwa upanga vitani.


Nami nitalitangua shauri la Yuda na Yerusalemu mahali hapa; nami nitawaangusha kwa upanga mbele za adui zao, na kwa mkono wa watu watafutao roho zao; na mizoga yao nitawapa ndege wa angani na wanyama wakali wa nchi, iwe chakula chao.


Yeye atakayekaa katika mji huu atakufa kwa upanga, na kwa njaa, na kwa tauni; bali yeye atakayetoka, na kujitia pamoja na Wakaldayo wanaowahusuru, yeye ataishi, na maisha yake yatakuwa nyara kwake.


Kijana na mzee hulala chini Katika njia kuu; Wasichana wangu na wavulana wangu Wameanguka kwa upanga; Umewaua katika siku ya hasira yako; Umeua, wala hukuona huruma.


Wenye dhambi wote katika watu wangu watakufa kwa upanga, hao wasemao, Mabaya hayatatupata nyuma wala mbele.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo