Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Isaya 3:21 - Swahili Revised Union Version

21 na pete, na azama,

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

21 pete, hazama,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

21 pete, hazama,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

21 pete, hazama,

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

21 pete zenye muhuri, pete za puani,

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

21 pete zenye muhuri, pete za puani,

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

21 na pete, na azama,

Tazama sura Nakili




Isaya 3:21
11 Marejeleo ya Msalaba  

Kisha nikamwuliza, U binti wa nani wewe? Naye akasema, Mimi ni binti Bethueli, mwana wa Nahori, Milka aliyemzalia. Nami nikamtia kishaufu puani mwake na vikuku mikononi mwake.


Farao akavua pete yake ya mhuri mkononi mwake, akaitia mkononi mwa Yusufu; akamvika mavazi ya kitani nzuri, na kumtia mkufu wa dhahabu shingoni mwake.


siku moja, katika mikoa yote ya mfalme Ahasuero, yaani, siku ya kumi na tatu ya mwezi wa kumi na mbili, ndio mwezi wa Adari.


Nao wakaja, wanaume kwa wanawake, wote waliokuwa na moyo wa kupenda, wakaleta vipini, hazama, pete za mhuri, vikuku na vyombo vyote vya dhahabu; kila mtu aliyetoa toleo la dhahabu la kumpa BWANA.


Mikono yake ni kama mianzi ya dhahabu, lliyopambwa kwa zabarajadi; Kiwiliwili chake kama kazi ya pembe, Iliyonakishiwa kwa yakuti samawi;


na mavazi ya sikukuu, na debwani; na shali, na vifuko;


Nikatia kishaufu puani mwako, na herini masikioni mwako, na taji zuri juu ya kichwa chako.


Lakini baba aliwaambia watumwa wake, Lileteni upesi vazi lililo bora, mkamvike; mtieni na pete kidoleni, na viatu miguuni;


Maana akiingia katika sinagogi lenu mtu mwenye pete ya dhahabu na mavazi mazuri; kisha akiingia na maskini, mwenye mavazi mabovu;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo