Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Isaya 3:20 - Swahili Revised Union Version

20 na dusumali, na mafurungu, na vitambi, na vibweta vya marashi, na matalasimu;

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

20 vitambaa vya kichwani, bangili, vibwebwe, vibweta vya marashi, hirizi,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

20 vitambaa vya kichwani, bangili, vibwebwe, vibweta vya marashi, hirizi,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

20 vitambaa vya kichwani, bangili, vibwebwe, vibweta vya marashi, hirizi,

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

20 vilemba, mikufu ya vifundo vya miguu, mshipi, chupa za manukato na hirizi,

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

20 vilemba, mikufu ya vifundo vya miguu, mshipi, chupa za manukato na hirizi,

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

20 na dusumali, na mafurungu, na vitambi, na vibweta vya marashi, na matalasimu;

Tazama sura Nakili




Isaya 3:20
9 Marejeleo ya Msalaba  

Nao wakampa Yakobo miungu migeni yote iliyokuwa mikononi mwao, na vipuli vilivyokuwa masikioni mwao, naye Yakobo akazificha chini ya mwaloni ulioko Shekemu.


Kisha utafanya kanzu kwa ajili ya wana wa Haruni, nawe wafanyie mishipi, wafanyie na kofia kwa utukufu na uzuri.


Haruni akawaambia, Zivunjeni pete za dhahabu zilizo katika masikio ya wake zenu, na wana wenu, na binti zenu, mniletee.


na hicho kilemba cha nguo ya kitani nzuri, na zile kofia nzuri za kitani, na hizo suruali za nguo ya kitani nzuri iliyosokotwa,


na pete za masikio, na vikuku, na mataji yao;


Mwambie mfalme, na mama ya mfalme, Nyenyekeeni na kuketi chini; Kwa maana vilemba vyenu vimeshuka, naam, taji la utukufu wenu.


Nikatia kishaufu puani mwako, na herini masikioni mwako, na taji zuri juu ya kichwa chako.


Watakuwa na vilemba vya kitani juu ya vichwa vyao, nao watakuwa na suruali za kitani viunoni mwao; hawatajifunga kiunoni kitu kisababishacho jasho.


Nami nitamwadhibu kwa sababu ya siku za Mabaali, aliowafukizia uvumba; hapo alipojipamba kwa pete masikioni mwake, na kwa vito asema BWANA.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo