Isaya 3:15 - Swahili Revised Union Version15 Ni nini maana yake, ninyi kuwaonea watu wangu, na kuponda nyuso za maskini? Asema Bwana, BWANA wa majeshi. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema15 Mnamaanisha nini kuwakandamiza watu wangu, kuwatendea ukatili watu maskini? Nauliza mimi Bwana, Mwenyezi-Mungu wa majeshi.” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND15 Mnamaanisha nini kuwakandamiza watu wangu, kuwatendea ukatili watu maskini? Nauliza mimi Bwana, Mwenyezi-Mungu wa majeshi.” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza15 Mnamaanisha nini kuwakandamiza watu wangu, kuwatendea ukatili watu maskini? Nauliza mimi Bwana, Mwenyezi-Mungu wa majeshi.” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu15 Mnamaanisha nini kuwaponda watu wangu na kuzisaga nyuso za maskini?” asema Mwenyezi Mungu, Mungu wa majeshi ya mbinguni. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu15 Mnamaanisha nini kuwaponda watu wangu na kuzisaga nyuso za maskini?” asema Bwana, bwana Mwenye Nguvu Zote. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI15 Ni nini maana yake, ninyi kuwaonea watu wangu, na kuponda nyuso za maskini? Asema Bwana, BWANA wa majeshi. Tazama sura |