Isaya 17:4 - Swahili Revised Union Version4 Tena itakuwa katika siku hiyo, utukufu wa Yakobo utapungua na kunona kwa mwili wake kutakwisha. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema4 “Siku hiyo, fahari ya Yakobo itaporomoshwa, na unono wake ataupoteza. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND4 “Siku hiyo, fahari ya Yakobo itaporomoshwa, na unono wake ataupoteza. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza4 “Siku hiyo, fahari ya Yakobo itaporomoshwa, na unono wake ataupoteza. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu4 “Katika siku ile utukufu wa Yakobo utafifia, unono wa mwili wake utadhoofika. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu4 “Katika siku ile utukufu wa Yakobo utafifia, unono wa mwili wake utadhoofika. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI4 Tena itakuwa katika siku hiyo, utukufu wa Yakobo utapungua na kunona kwa mwili wake kutakwisha. Tazama sura |