Isaya 14:3 - Swahili Revised Union Version3 Tena itakuwa katika siku ile, ambayo BWANA atakupa raha baada ya huzuni yako, na baada ya taabu yako, na baada ya utumishi ule mgumu uliotumikishwa; Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema3 Ewe Israeli, wakati Mwenyezi-Mungu atakapokufariji baada ya mateso, misukosuko na utumwa uliofanyiwa, Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND3 Ewe Israeli, wakati Mwenyezi-Mungu atakapokufariji baada ya mateso, misukosuko na utumwa uliofanyiwa, Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza3 Ewe Israeli, wakati Mwenyezi-Mungu atakapokufariji baada ya mateso, misukosuko na utumwa uliofanyiwa, Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu3 Katika siku Mwenyezi Mungu atakapokuondolea mateso, udhia na utumwa wa kikatili, Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu3 Katika siku bwana atakapokuondolea mateso, udhia na utumwa wa kikatili, Tazama suraBIBLIA KISWAHILI3 Tena itakuwa katika siku ile, ambayo BWANA atakupa raha baada ya huzuni yako, na baada ya taabu yako, na baada ya utumishi ule mgumu uliotumikishwa; Tazama sura |