Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Isaya 13:7 - Swahili Revised Union Version

7 Kwa sababu hiyo mikono yote italegea, na moyo wa kila mtu utayeyuka.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

7 Kwa hiyo mikono ya kila mtu italegea, kila mtu atakufa moyo.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

7 Kwa hiyo mikono ya kila mtu italegea, kila mtu atakufa moyo.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

7 Kwa hiyo mikono ya kila mtu italegea, kila mtu atakufa moyo.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

7 Kwa sababu ya hili, mikono yote italegea, moyo wa kila mtu utayeyuka.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

7 Kwa sababu ya hili, mikono yote italegea, moyo wa kila mtu utayeyuka.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

7 Kwa sababu hiyo mikono yote italegea, na moyo wa kila mtu utayeyuka.

Tazama sura Nakili




Isaya 13:7
15 Marejeleo ya Msalaba  

Na watoweke kama maji yapitayo kwa kasi; Akiielekeza mishale yake, iwe imetiwa ubutu.


Ndipo majumbe wa Edomu wakashangaa, Watu wa Moabu wenye nguvu tetemeko limewapata, Watu wote wakaao Kanaani wameyeyuka.


Ufunuo juu ya Misri. Tazama, BWANA amepanda juu ya wingu jepesi, anafika Misri; na sanamu za Misri zinatikisika mbele zake, na moyo wa Misri unayeyuka ndani yake.


Ndiyo sababu wenyeji wao wakawa hawana nguvu, na kufadhaika, na kuhangaika, wakawa kama majani ya mashamba, kama miche mibichi, kama majani juu ya madari, kama shamba la ngano kabla haijaiva.


Wana wako wamezimia, Wamelala penye pembe za njia kuu zote Kama kulungu wavuni; Wamejaa hasira ya BWANA, Lawama ya Mungu wako.


Mfalme wa Babeli amesikia habari zao, Na mikono yake imekuwa dhaifu; Dhiki imemshika, na maumivu, Kama ya mwanamke akiwa katika uchungu wa kujifungua.


Mashujaa wa Babeli wameacha kupigana; Wanakaa katika ngome zao; Ushujaa wao umewapungukia; Wamekuwa kama wanawake; Makao yake yameteketea; Makomeo yake yamevunjika.


Piga kelele, utoe sauti ya uchungu, Ee mwanadamu, kwa maana upanga u juu ya watu wangu, u juu ya wakuu wote wa Israeli; wametolewa wauawe na upanga pamoja na watu wangu, basi, jipige pajani.


Na itakuwa, wakuambiapo, Mbona unapiga kite? Ndipo utakaposema, Kwa sababu ya habari hizo, maana linakuja; na kila moyo utayeyuka, na mikono yote itakuwa dhaifu, na kila roho itazimia, na magoti yote yatageuka kuwa kama maji; tazama, linakuja, nalo litatendeka, asema Bwana MUNGU.


Mikono yote itakuwa dhaifu, na magoti yote yatalegea kama maji.


Ni nani awezaye kusimama mbele za ghadhabu yake, naye ni nani awezaye kukaa katika ukali wa hasira yake? Hasira yake kali humwagwa kama moto, nayo majabali yapasuliwa na yeye.


Amekuwa utupu, na ukiwa, na uharibifu; hata moyo unayeyuka, na magoti yanagonganagongana; moyoni kote mna uchungu, na nyuso za wote zimekuwa nyeupe kwa hofu.


Kao la simba li wapi? Na mahali walishapo wanasimba pa wapi, mahali walipotembea simba mume na simba mke na mwanasimba, wala hapana aliyewatia hofu?


Na mara tuliposikia hayo mioyo yetu iliyeyuka, wala haukusalia ujasiri wowote katika mtu awaye yote, kwa sababu yenu; kwa kuwa BWANA, Mungu wenu, yeye ndiye Mungu, katika mbingu juu na katika nchi chini.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo