Isaya 1:9 - Swahili Revised Union Version9 Kama BWANA wa majeshi asingalituachia mabaki machache sana, tungalikuwa kama Sodoma, tungalifanana na Gomora. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema9 Mwenyezi-Mungu wa majeshi asingalituachia wachache, tungalikwisha kuwa kama watu wa Sodoma, tungalikuwa hali ileile ya Gomora. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND9 Mwenyezi-Mungu wa majeshi asingalituachia wachache, tungalikwisha kuwa kama watu wa Sodoma, tungalikuwa hali ileile ya Gomora. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza9 Mwenyezi-Mungu wa majeshi asingalituachia wachache, tungalikwisha kuwa kama watu wa Sodoma, tungalikuwa hali ileile ya Gomora. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu9 Kama Mwenyezi Mungu, Mungu wa majeshi ya mbinguni hakutuachia walionusurika, tungekuwa kama Sodoma, tungefanana na Gomora. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu9 Kama bwana Mungu Mwenye Nguvu Zote asingelituachia walionusurika, tungelikuwa kama Sodoma, tungelifanana na Gomora. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI9 Kama BWANA wa majeshi asingalituachia mabaki machache sana, tungalikuwa kama Sodoma, tungalifanana na Gomora. Tazama sura |