Isaya 1:24 - Swahili Revised Union Version24 Kwa hiyo, asema Bwana, BWANA wa majeshi, Mwenye enzi, wa Israeli, Nitapata faraja kwa hao wanipingao, nitalipiza kisasi kwa adui zangu; Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema24 Kwa hiyo asema Bwana Mwenyezi-Mungu, Mwenye Nguvu wa Israeli: “Nitawamwagia maadui zangu hasira yangu, nitawalipiza kisasi wapinzani wangu. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND24 Kwa hiyo asema Bwana Mwenyezi-Mungu, Mwenye Nguvu wa Israeli: “Nitawamwagia maadui zangu hasira yangu, nitawalipiza kisasi wapinzani wangu. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza24 Kwa hiyo asema Bwana Mwenyezi-Mungu, Mwenye Nguvu wa Israeli: “Nitawamwagia maadui zangu hasira yangu, nitawalipiza kisasi wapinzani wangu. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu24 Kwa hiyo Mwenyezi Mungu, Mungu wa majeshi ya mbinguni, Mwenye Nguvu wa Israeli, asema hivi: “Lo! Nitapata faraja kutoka kwa adui zangu, na kujilipizia kisasi kwa watesi wangu. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu24 Kwa hiyo Bwana, bwana Mwenye Nguvu Zote, Mwenye Nguvu wa Israeli, asema hivi: “Lo, nitapata faraja kutoka kwa adui zangu na kujilipizia kisasi juu ya watesi wangu. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI24 Kwa hiyo, asema Bwana, BWANA wa majeshi, Mwenye enzi, wa Israeli, Nitapata faraja kwa hao wanipingao, nitalipiza kisasi kwa adui zangu; Tazama sura |