Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Hosea 7:15 - Swahili Revised Union Version

15 Ingawa nimewafundisha na kuwatia nguvu mikono yao, hata hivyo hukusudia udhalimu juu yangu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

15 Mimi ndimi niliyeiimarisha mikono yao, lakini wanafikiria maovu dhidi yangu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

15 Mimi ndimi niliyeiimarisha mikono yao, lakini wanafikiria maovu dhidi yangu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

15 Mimi ndimi niliyeiimarisha mikono yao, lakini wanafikiria maovu dhidi yangu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

15 Niliwafundisha na kuwatia nguvu, lakini wanapanga mabaya dhidi yangu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

15 Niliwafundisha na kuwatia nguvu, lakini wanapanga mabaya dhidi yangu.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

15 Ingawa nimewafundisha na kuwatia nguvu mikono yao, hata hivyo hukusudia udhalimu juu yangu.

Tazama sura Nakili




Hosea 7:15
18 Marejeleo ya Msalaba  

Lakini BWANA akawahurumia, akawasikitikia, na kuwaangalia, kwa ajili ya agano lake na Abrahamu, na Isaka, na Yakobo, wala hakutaka kuwaangamiza, wala hakuwatupa usoni pake bado.


(BWANA akawapa Israeli mwokozi, nao wakatoka mikononi mwa Washami; wana wa Israeli wakakaa hemani mwao kama zamani za kwanza.


Tazama, yu heri mtu yule Mungu amwadhibuye; Kwa hiyo usidharau kurudiwa na huyo Mwenyezi.


Waliowaza mabaya mioyoni mwao, Kila siku huchochea vita.


Mbona mataifa yanafanya ghasia, Na watu kuwaza mambo ya bure?


Hadi lini mtamshambulia mtu, Mpate kumwua ninyi nyote pamoja? Kama ukuta unaoinama, Kama ua ulio tayari kuanguka,


Ee BWANA, heri mtu yule umwadibuye, Na kumfundisha kwa sheria yako;


Mwanangu, usidharau kuadhibiwa na BWANA, Wala usione ni taabu kurudiwa naye.


Moyo huwa mdanganyifu kuliko vitu vyote, una ugonjwa wa kufisha; nani awezaye kuujua?


Haya ndiyo maangamizo yako, Ee Israeli, kwa kuwa wewe u kinyume changu mimi, kinyume cha msaada wako.


Mnawaza nini juu ya BWANA? Yeye atakomesha kabisa; mateso hayatainuka mara ya pili.


nawe ulinena kwa Roho Mtakatifu kwa kinywa cha baba yetu Daudi, mtumishi wako, Mbona mataifa wamefanya ghasia, Na makabila wametafakari ubatili?


kwa sababu, walipomjua Mungu hawakumtukuza kama ndiye Mungu wala kumshukuru; bali walipotea katika uzushi wao, na mioyo yao yenye ujinga ikatiwa giza.


tukiangusha mawazo na kila kitu kilichoinuka, kijiinuacho juu ya elimu ya Mungu; na tukiteka nyara kila fikira ipate kumtii Kristo;


tena mmeyasahau yale maonyo, yasemayo nanyi kama kusema na wana, Mwanangu, usiyadharau maonyo ya Bwana, Wala usife moyo ukiadhibiwa naye;


Wote niwapendao mimi nawakemea, na kuwarudi; basi uwe na bidii, ukatubu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo