Hosea 6:8 - Swahili Revised Union Version8 Gileadi ni mji wa hao watendao maovu, umetiwa rangi ya damu. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema8 Gileadi ni mji wa waovu, umetapakaa damu. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND8 Gileadi ni mji wa waovu, umetapakaa damu. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza8 Gileadi ni mji wa waovu, umetapakaa damu. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu8 Gileadi ni mji wa watenda maovu, umetiwa madoa kwa nyayo za damu. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu8 Gileadi ni mji wenye watu waovu, umetiwa madoa kwa nyayo za damu. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI8 Gileadi ni mji wa hao watendao maovu, umetiwa rangi ya damu. Tazama sura |
Na zaidi ya hayo, unajua alivyonitenda Yoabu, mwana wa Seruya, yaani, alivyowatenda majemadari wawili wa majeshi ya Israeli, Abneri, mwana wa Neri, na Amasa, mwana wa Yetheri, ambao aliwaua, na kumwaga damu wakati wa amani akilipiza kisasi cha vita, mshipi akautia damu ya vita uliokuwa viunoni mwake, na viatu vilivyokuwa miguuni mwake.