Hosea 6:10 - Swahili Revised Union Version10 Katika nyumba ya Israeli nimeona jambo bovu kabisa; huko uzinzi umeonekana katika Efraimu; Israeli ametiwa unajisi. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema10 Nimeona jambo la kuchukiza sana miongoni mwa Waisraeli: Watu wa Efraimu wanakimbilia miungu mingine naam, Waisraeli wamejitia unajisi. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND10 Nimeona jambo la kuchukiza sana miongoni mwa Waisraeli: Watu wa Efraimu wanakimbilia miungu mingine naam, Waisraeli wamejitia unajisi. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza10 Nimeona jambo la kuchukiza sana miongoni mwa Waisraeli: watu wa Efraimu wanakimbilia miungu mingine naam, Waisraeli wamejitia unajisi. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu10 Nimeona jambo la kutisha katika nyumba ya Israeli. Huko Efraimu amejitolea kwa ukahaba na Israeli amenajisika. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu10 Nimeona jambo la kutisha katika nyumba ya Israeli. Huko Efraimu amejitolea kwa ukahaba na Israeli amenajisika. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI10 Katika nyumba ya Israeli nimeona jambo bovu kabisa; huko uzinzi umeonekana katika Efraimu; Israeli ametiwa unajisi. Tazama sura |