Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Hosea 5:11 - Swahili Revised Union Version

11 Efraimu ameonewa, amesetwa katika hukumu, kwa sababu alikuwa radhi kufuata ubatili.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

11 Efraimu ameteswa, haki zake zimetwaliwa; kwani alipania kufuata upuuzi.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

11 Efraimu ameteswa, haki zake zimetwaliwa; kwani alipania kufuata upuuzi.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

11 Efraimu ameteswa, haki zake zimetwaliwa; kwani alipania kufuata upuuzi.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

11 Efraimu amedhulumiwa, amekanyagwa katika hukumu kwa kuwa amekusudia kufuatia sanamu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

11 Efraimu ameonewa, amekanyagwa katika hukumu kwa kuwa amekusudia kufuatia sanamu.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

11 Efraimu ameonewa, amesetwa katika hukumu, kwa sababu alikuwa radhi kufuata ubatili.

Tazama sura Nakili




Hosea 5:11
7 Marejeleo ya Msalaba  

Katika siku za Peka mfalme wa Israeli akaja Tiglath-pileseri mfalme wa Ashuru, akatwaa Iyoni, na Abel-beth-maaka, na Yanoa, na Kedeshi, na Hazori, na Gileadi, na Galilaya, nchi yote ya Naftali; akawahamisha hao watu mpaka Ashuru.


Efraimu amepigwa; mzizi wao umekauka; hawatazaa matunda; naam, wajapozaa, nitaliua tunda la tumbo lipendwalo sana.


Kwa maana amri za Omri ndizo zishikwazo, na matendo yote ya nyumba ya Ahabu, nanyi mnakwenda katika mashauri yao; ili nikufanye kuwa ukiwa, na wenyeji waliomo humo kuwa zomeo; nanyi mtayachukua matukano waliyotukanwa watu wangu.


Matunda ya nchi yako, na taabu yako yote, vitaliwa na taifa usilolijua; utaonewa tu, na kupondwa chini daima;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo