Hosea 5:11 - Swahili Revised Union Version11 Efraimu ameonewa, amesetwa katika hukumu, kwa sababu alikuwa radhi kufuata ubatili. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema11 Efraimu ameteswa, haki zake zimetwaliwa; kwani alipania kufuata upuuzi. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND11 Efraimu ameteswa, haki zake zimetwaliwa; kwani alipania kufuata upuuzi. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza11 Efraimu ameteswa, haki zake zimetwaliwa; kwani alipania kufuata upuuzi. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu11 Efraimu amedhulumiwa, amekanyagwa katika hukumu kwa kuwa amekusudia kufuatia sanamu. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu11 Efraimu ameonewa, amekanyagwa katika hukumu kwa kuwa amekusudia kufuatia sanamu. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI11 Efraimu ameonewa, amesetwa katika hukumu, kwa sababu alikuwa radhi kufuata ubatili. Tazama sura |