Hosea 12:14 - Swahili Revised Union Version14 Efraimu amenitia hasira kali sana; kwa sababu hiyo damu yake itaachwa juu yake, na Bwana wake atamrudishia lawama yake. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema14 Waefraimu wamemchukiza Mwenyezi-Mungu sana. Lakini Mwenyezi-Mungu atawalipiza makosa yao, atawaadhibu kwa mambo maovu waliyotenda. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND14 Waefraimu wamemchukiza Mwenyezi-Mungu sana. Lakini Mwenyezi-Mungu atawalipiza makosa yao, atawaadhibu kwa mambo maovu waliyotenda. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza14 Waefraimu wamemchukiza Mwenyezi-Mungu sana. Lakini Mwenyezi-Mungu atawalipiza makosa yao, atawaadhibu kwa mambo maovu waliyotenda. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu14 Lakini Efraimu amemchochea sana hasira; Bwana wake ataleta juu yake hatia yake ya kumwaga damu naye atamlipiza kwa ajili ya dharau yake. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu14 Lakini Efraimu amemchochea sana hasira; Bwana wake ataleta juu yake hatia yake ya kumwaga damu naye atamlipiza kwa ajili ya dharau yake. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI14 Efraimu amenitia hasira kali sana; kwa sababu hiyo damu yake itaachwa juu yake, na Bwana wake atamrudishia lawama yake. Tazama sura |