Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Hosea 1:3 - Swahili Revised Union Version

3 Basi akaenda akamwoa Gomeri, binti Diblaimu; naye akachukua mimba, akamzalia mtoto wa kiume.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

3 Basi, Hosea akaenda, akamwoa Gomeri, binti Diblaimu. Gomeri akapata mimba, akamzalia Hosea mtoto wa kiume.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

3 Basi, Hosea akaenda, akamwoa Gomeri, binti Diblaimu. Gomeri akapata mimba, akamzalia Hosea mtoto wa kiume.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

3 Basi, Hosea akaenda, akamwoa Gomeri, binti Diblaimu. Gomeri akapata mimba, akamzalia Hosea mtoto wa kiume.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

3 Kwa hiyo alimwoa Gomeri binti Diblaimu, naye akachukua mimba na kumzalia Hosea mwana.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

3 Kwa hiyo alimwoa Gomeri binti Diblaimu, naye akachukua mimba na kumzalia Hosea mwana.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

3 Basi akaenda akamwoa Gomeri, binti Diblaimu; naye akachukua mimba, akamzalia mtoto wa kiume.

Tazama sura Nakili




Hosea 1:3
3 Marejeleo ya Msalaba  

Adamu akamjua Hawa mkewe; naye akapata mimba, akamzaa Kaini, akasema, Nimepata mtoto wa kiume kwa msaada wa BWANA.


Na majina yao, mkubwa aliitwa Ohola, na dada yake Oholiba; wakawa wangu, wakazaa watoto wa kiume na wa kike. Na katika hayo majina yao, Samaria ni Ohola, na Yerusalemu ni Oholiba.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo