Hesabu 8:11 - Swahili Revised Union Version11 naye Haruni atawasongeza Walawi mbele za BWANA wawe sadaka ya kutikiswa, kwa ajili ya wana wa Israeli, ili wawe watumishi wa BWANA. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema11 halafu Aroni atawaweka hao mbele yangu kama sadaka ya kutikiswa kutoka kwa Waisraeli wanihudumie. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND11 halafu Aroni atawaweka hao mbele yangu kama sadaka ya kutikiswa kutoka kwa Waisraeli wanihudumie. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza11 halafu Aroni atawaweka hao mbele yangu kama sadaka ya kutikiswa kutoka kwa Waisraeli wanihudumie. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu11 Haruni atawaweka Walawi mbele za Mwenyezi Mungu wawe sadaka ya kuinuliwa kutoka kwa Waisraeli, ili wawe tayari kuifanya kazi ya Mwenyezi Mungu. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu11 Haruni atawaweka Walawi mbele za bwana kama sadaka ya kuinua kutoka kwa Waisraeli, ili kwamba wawe tayari kuifanya kazi ya bwana. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI11 naye Haruni atawasongeza Walawi mbele za BWANA wawe sadaka ya kutikiswa, kwa ajili ya wana wa Israeli, ili wawe watumishi wa BWANA. Tazama sura |