Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Hesabu 7:5 - Swahili Revised Union Version

5 Pokea mikononi mwao, ili kwamba viwe vya kutumiwa katika utumishi wa hema ya kukutania; nawe utawapa Walawi vitu hivyo, kila mtu utampa kama utumishi wake ulivyo.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

5 “Pokea matoleo haya ili yatumiwe katika huduma itakayofanywa kwa ajili ya hema la mkutano, uwape Walawi, kila mmoja kwa kadiri ya kazi yake.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

5 “Pokea matoleo haya ili yatumiwe katika huduma itakayofanywa kwa ajili ya hema la mkutano, uwape Walawi, kila mmoja kwa kadiri ya kazi yake.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

5 “Pokea matoleo haya ili yatumiwe katika huduma itakayofanywa kwa ajili ya hema la mkutano, uwape Walawi, kila mmoja kwa kadiri ya kazi yake.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

5 “Vikubali vitu hivi kutoka kwao, ili viweze kutumika katika kazi kwenye Hema la Kukutania. Wapatie Walawi kama kazi ya kila mtu itakavyohitaji.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

5 “Vikubali vitu hivi kutoka kwao, ili viweze kutumika katika kazi kwenye Hema la Kukutania. Wapatie Walawi kama kazi ya kila mtu itakavyohitaji.”

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

5 Pokea mikononi mwao, ili kwamba viwe vya kutumiwa katika utumishi wa hema ya kukutania; nawe utawapa Walawi vitu hivyo, kila mtu utampa kama utumishi wake ulivyo.

Tazama sura Nakili




Hesabu 7:5
9 Marejeleo ya Msalaba  

Kisha BWANA akanena na Musa, na kumwambia,


Basi Musa akapokea hayo magari, na ng'ombe, akawapa Walawi.


Ni neno la kuaminiwa; na mambo hayo nataka uyasisitizie sana, ili wale waliomwamini Mungu wakumbuke kudumu katika matendo mema. Mambo hayo ni mazuri sana, tena yana manufaa kwa wanadamu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo