Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Hesabu 6:16 - Swahili Revised Union Version

16 Na kuhani atavisongeza mbele za BWANA, naye atasongeza sadaka yake ya dhambi, na sadaka yake ya kuteketezwa;

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

16 “Kuhani atamtolea Mwenyezi-Mungu vitu vyote hivi pamoja na sadaka yake ya dhambi na sadaka yake ya kuteketezwa.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

16 “Kuhani atamtolea Mwenyezi-Mungu vitu vyote hivi pamoja na sadaka yake ya dhambi na sadaka yake ya kuteketezwa.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

16 “Kuhani atamtolea Mwenyezi-Mungu vitu vyote hivi pamoja na sadaka yake ya dhambi na sadaka yake ya kuteketezwa.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

16 “ ‘Kuhani atavileta vitu hivyo mbele za Mwenyezi Mungu na kufanya sadaka ya dhambi na sadaka ya kuteketezwa.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

16 “ ‘Kuhani atavileta vitu hivyo mbele za bwana na kufanya sadaka ya dhambi na sadaka ya kuteketezwa.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

16 Na kuhani atavisongeza mbele za BWANA, naye atasongeza sadaka yake ya dhambi, na sadaka yake ya kuteketezwa;

Tazama sura Nakili




Hesabu 6:16
3 Marejeleo ya Msalaba  

na kikapu cha mikate isiyotiwa chachu, mikate ya unga mwembamba iliyokandwa kwa mafuta, na mikate ya kaki isiyochachwa, iliyotiwa mafuta, pamoja na sadaka zake za unga, na sadaka zake za kinywaji.


naye atamsongeza huyo kondoo dume kuwa dhabihu ya sadaka za amani kwa BWANA, pamoja na kikapu cha mikate isiyotiwa chachu; kisha kuhani atasongeza sadaka ya unga nayo, na sadaka yake ya kinywaji.


Kisha Walawi wataweka mikono yao juu ya vichwa vya hao ng'ombe; nawe umtoe mmoja kuwa sadaka ya dhambi kwa BWANA, na huyo wa pili awe sadaka ya kuteketezwa, ili kufanya upatanisho kwa ajili ya Walawi.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo