Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Hesabu 5:12 - Swahili Revised Union Version

12 Nena na wana wa Israeli, uwaambie, kama mke wa mtu yeyote akikengeuka, na kumkosa mumewe,

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

12 “Waambie Waisraeli: Kama mke wa mtu yeyote amepotoka akakosa uaminifu kwa mumewe,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

12 “Waambie Waisraeli: Kama mke wa mtu yeyote amepotoka akakosa uaminifu kwa mumewe,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

12 “Waambie Waisraeli: Kama mke wa mtu yeyote amepotoka akakosa uaminifu kwa mumewe,

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

12 “Nena na Waisraeli uwaambie: ‘Ikiwa mke wa mtu amepotoka na si mwaminifu kwa mumewe,

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

12 “Nena na Waisraeli uwaambie: ‘Ikiwa mke wa mtu amepotoka na si mwaminifu kwa mumewe,

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

12 Nena na wana wa Israeli, uwaambie, kama mke wa mtu yeyote akikengeuka, na kumkosa mumewe,

Tazama sura Nakili




Hesabu 5:12
6 Marejeleo ya Msalaba  

Kisha BWANA akanena na Musa, na kumwambia,


Hii ndiyo sheria ya wivu, mwanamke, ambaye yu chini ya mumewe, akikengeuka, na kupata unajisi;


Mtu akiisha kutwaa mke kwa kumwoa, asipopata kibali machoni mwake, kwa kuwa ameona neno ovu kwake, na amwandikie hati ya kumwacha, akamtilie mkononi mwake, na kumtoa katika nyumba yake.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo