Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Hesabu 4:42 - Swahili Revised Union Version

42 Na hao waliohesabiwa katika jamaa za wana wa Merari, kwa jamaa zao, na nyumba za baba zao,

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

42 Idadi ya watu wa ukoo wa Merari kufuatana na jamaa zao na familia zao,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

42 Idadi ya watu wa ukoo wa Merari kufuatana na jamaa zao na familia zao,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

42 Idadi ya watu wa ukoo wa Merari kufuatana na jamaa zao na familia zao,

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

42 Wamerari walihesabiwa kwa koo zao na jamaa zao.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

42 Wamerari walihesabiwa kwa koo zao na jamaa zao.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

42 Na hao waliohesabiwa katika jamaa za wana wa Merari, kwa jamaa zao, na nyumba za baba zao,

Tazama sura Nakili




Hesabu 4:42
4 Marejeleo ya Msalaba  

mwana wa Mali, mwana wa Mushi, mwana wa Merari, mwana wa Lawi.


na wale waliohesabiwa kwa nasaba ya makuhani kufuata nyumba za baba zao, na Walawi, wenye umri wa miaka ishirini na zaidi, katika sehemu yao, kwa kadiri ya zamu zao;


Hao ndio waliohesabiwa katika jamaa za wana wa Gershoni, wote waliotumika katika hema ya kukutania, ambao Musa na Haruni waliwahesabu kwa amri ya BWANA.


kuanzia wenye umri wa miaka thelathini na zaidi, hadi umri wa miaka hamsini, kila mtu aliyeingia katika utumishi kwa kazi katika hema ya kukutania,


Tufuate:

Matangazo


Matangazo