Hesabu 36:13 - Swahili Revised Union Version13 Haya ndiyo maagizo na hukumu, ambayo BWANA aliwaagiza wana wa Israeli, kwa mkono wa Musa, hapo katika nchi tambarare za Moabu, karibu na Yordani, hapo Yeriko. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema13 Hizo ndizo amri na maagizo ambayo Mwenyezi-Mungu aliwapa Waisraeli kwa njia ya Mose katika tambarare za Moabu, ngambo ya Mto Yordani karibu na mji wa Yeriko. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND13 Hizo ndizo amri na maagizo ambayo Mwenyezi-Mungu aliwapa Waisraeli kwa njia ya Mose katika tambarare za Moabu, ngambo ya Mto Yordani karibu na mji wa Yeriko. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza13 Hizo ndizo amri na maagizo ambayo Mwenyezi-Mungu aliwapa Waisraeli kwa njia ya Mose katika tambarare za Moabu, ng'ambo ya Mto Yordani karibu na mji wa Yeriko. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu13 Haya ndio maagizo na masharti ambayo Mwenyezi Mungu aliwapa Waisraeli kupitia Musa katika tambarare za Moabu, karibu na Yordani ng’ambo ya Yeriko. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu13 Haya ndiyo maagizo na masharti ambayo bwana aliwapa Waisraeli kupitia Musa katika tambarare za Moabu, karibu na Yordani ng’ambo ya Yeriko. Tazama sura |