Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Hesabu 36:11 - Swahili Revised Union Version

11 kwa kuwa Mala, na Tirza, na Hogla, na Milka, na Nuhu, binti za Selofehadi waliolewa na wanaume, wana wa ndugu za baba yao.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

11 Wote: Mala, Tirza, Hogla, Milka na Noa wakaolewa na binamu zao.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

11 Wote: Mala, Tirza, Hogla, Milka na Noa wakaolewa na binamu zao.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

11 Wote: Mala, Tirza, Hogla, Milka na Noa wakaolewa na binamu zao.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

11 Binti za Selofehadi, ambao ni Mahla, Tirsa, Hogla, Milka na Noa, wakaolewa na wana wa ndugu za baba yao.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

11 Binti za Selofehadi, ambao ni Mahla, Tirsa, Hogla, Milka na Noa, wakaolewa na waume, wana wa ndugu za baba yao.

Tazama sura Nakili




Hesabu 36:11
4 Marejeleo ya Msalaba  

Na Selofehadi mwana wa Heferi hakuwa na watoto wa kiume, isipokuwa wa kike; na majina ya hao binti za Selofehadi ni haya, Mala, na Nuhu, na Hogla, na Milka, na Tirza.


Wakati huo wakakaribia hao binti za Selofehadi, mwana wa Heferi, mwana wa Gileadi, mwana wa Makiri, mwana wa Manase, wa jamaa za Manase mwana wa Yusufu; na majina ya hao binti za Selofehadi ni haya; Mala, na Nuhu, na Hogla, na Milka, na Tirza.


Basi hao binti za Selofehadi wakafanya kama BWANA alivyomwagiza Musa;


Waliolewa katika jamaa za wana wa Manase, mwana wa Yusufu, na urithi wao ukakaa katika kabila la jamaa ya baba yao.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo