Hesabu 34:29 - Swahili Revised Union Version29 Hao ndio BWANA aliowaagiza wawagawanyie urithi wana wa Israeli katika nchi ya Kanaani. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema29 Hawa ndio watu ambao Mwenyezi-Mungu aliwaamuru wawagawie Waisraeli nchi ya Kanaani kuwa mali yao.” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND29 Hawa ndio watu ambao Mwenyezi-Mungu aliwaamuru wawagawie Waisraeli nchi ya Kanaani kuwa mali yao.” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza29 Hawa ndio watu ambao Mwenyezi-Mungu aliwaamuru wawagawie Waisraeli nchi ya Kanaani kuwa mali yao.” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu29 Hawa ndio watu ambao Mwenyezi Mungu aliamuru wagawanye urithi kwa Waisraeli katika nchi ya Kanaani. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu29 Hawa ndio watu ambao bwana aliamuru wagawanye urithi kwa Waisraeli katika nchi ya Kanaani. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI29 Hao ndio BWANA aliowaagiza wawagawanyie urithi wana wa Israeli katika nchi ya Kanaani. Tazama sura |
Hizi ndizo nchi, ambazo Eleazari kuhani, na Yoshua huyo mwana wa Nuni, pamoja na hao vichwa vya nyumba za mababa ya makabila ya Waisraeli, walizigawanya kwa njia ya kupiga kura, ziwe urithi, huko Shilo mbele ya BWANA, hapo mlangoni mwa hema ya kukutania. Basi hivyo wakamaliza kazi ya kuigawanya hiyo nchi.