Hesabu 34:13 - Swahili Revised Union Version13 Kisha Musa akawaagiza wana wa Israeli, akisema, Hii ndiyo nchi mtakayoirithi kwa kupiga kura, ambayo BWANA ameagiza wapewe watu wa yale makabila tisa, na nusu ya kabila; Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema13 Basi, Mose akawaambia Waisraeli, “Hii ndiyo nchi mtakayoirithi kwa kupiga kura, nchi ambayo Mwenyezi-Mungu ameagiza yapewe makabila tisa na nusu. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND13 Basi, Mose akawaambia Waisraeli, “Hii ndiyo nchi mtakayoirithi kwa kupiga kura, nchi ambayo Mwenyezi-Mungu ameagiza yapewe makabila tisa na nusu. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza13 Basi, Mose akawaambia Waisraeli, “Hii ndiyo nchi mtakayoirithi kwa kupiga kura, nchi ambayo Mwenyezi-Mungu ameagiza yapewe makabila tisa na nusu. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu13 Musa akawaamuru Waisraeli: “Gawanyeni nchi hii kwa kura kama urithi. Mwenyezi Mungu ameagiza kwamba itolewe kwa yale makabila tisa na nusu, Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu13 Musa akawaamuru Waisraeli: “Gawanyeni nchi hii kwa kura kama urithi. bwana ameagiza kwamba itolewe kwa yale makabila tisa na nusu, Tazama suraBIBLIA KISWAHILI13 Kisha Musa akawaagiza wana wa Israeli, akisema, Hii ndiyo nchi mtakayoirithi kwa kupiga kura, ambayo BWANA ameagiza wapewe watu wa yale makabila tisa, na nusu ya kabila; Tazama sura |