Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Hesabu 33:40 - Swahili Revised Union Version

40 Ndipo Mkanaani, mfalme wa Aradi, aliyekaa pande za Negebu katika nchi ya Kanaani akasikia habari za kuja kwao wana wa Israeli.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

40 Mfalme wa Aradi, Mkanaani, aliyekaa Negebu katika nchi ya Kanaani, alipata habari kwamba Waisraeli walikuwa wanakuja.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

40 Mfalme wa Aradi, Mkanaani, aliyekaa Negebu katika nchi ya Kanaani, alipata habari kwamba Waisraeli walikuwa wanakuja.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

40 Mfalme wa Aradi, Mkanaani, aliyekaa Negebu katika nchi ya Kanaani, alipata habari kwamba Waisraeli walikuwa wanakuja.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

40 Mfalme Mkanaani wa Aradi, ambaye aliishi huko Negebu ya Kanaani, akasikia kwamba Waisraeli wanakuja.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

40 Mfalme Mkanaani wa Aradi, ambaye aliishi huko Negebu ya Kanaani, akasikia kwamba Waisraeli wanakuja.

Tazama sura Nakili




Hesabu 33:40
4 Marejeleo ya Msalaba  

Naye Abramu akasafiri, akazidi kwenda pande za kusini.


Naye Haruni alikuwa mtu wa umri wa miaka mia moja ishirini na mitatu hapo alipokufa katika mlima wa Hori.


Nao wakasafiri kutoka mlima wa Hori, wakapiga kambi Salmona.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo