Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Hesabu 33:39 - Swahili Revised Union Version

39 Naye Haruni alikuwa mtu wa umri wa miaka mia moja ishirini na mitatu hapo alipokufa katika mlima wa Hori.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

39 Aroni alikuwa na umri wa miaka 123 alipofariki juu ya Mlima Hori.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

39 Aroni alikuwa na umri wa miaka 123 alipofariki juu ya Mlima Hori.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

39 Aroni alikuwa na umri wa miaka 123 alipofariki juu ya Mlima Hori.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

39 Haruni alikufa juu ya Mlima Hori akiwa na umri wa miaka mia moja ishirini na tatu (123).

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

39 Haruni alikufa juu ya Mlima Hori akiwa na umri wa miaka 123.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

39 Naye Haruni alikuwa mtu wa umri wa miaka mia moja ishirini na mitatu hapo alipokufa katika mlima wa Hori.

Tazama sura Nakili




Hesabu 33:39
3 Marejeleo ya Msalaba  

Huyo Musa alikuwa ni mtu wa miaka themanini umri wake, na Haruni alikuwa ni mtu wa miaka themanini na mitatu, hapo waliponena na Farao.


Haruni akakwea mlima wa Hori, kwa amri ya BWANA, akafa hapo, katika mwaka wa arubaini baada ya wana wa Israeli kutoka katika nchi ya Misri, mwezi wa tano, siku ya kwanza ya mwezi.


Ndipo Mkanaani, mfalme wa Aradi, aliyekaa pande za Negebu katika nchi ya Kanaani akasikia habari za kuja kwao wana wa Israeli.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo