Hesabu 33:4 - Swahili Revised Union Version4 hapo Wamisri walipokuwa wanazika wazaliwa wa kwanza wao wote, BWANA aliokuwa amewapiga kati yao; BWANA akafanya hukumu juu ya miungu yao nayo. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema4 ambao walikuwa wanawazika wazaliwa wao wa kwanza wa kiume aliowaua Mwenyezi-Mungu; kwani Mwenyezi-Mungu alikuwa ameiadhibu hata miungu yao. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND4 ambao walikuwa wanawazika wazaliwa wao wa kwanza wa kiume aliowaua Mwenyezi-Mungu; kwani Mwenyezi-Mungu alikuwa ameiadhibu hata miungu yao. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza4 ambao walikuwa wanawazika wazaliwa wao wa kwanza wa kiume aliowaua Mwenyezi-Mungu; kwani Mwenyezi-Mungu alikuwa ameiadhibu hata miungu yao. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu4 waliokuwa wakizika wazaliwa wao wa kwanza wote, ambao Mwenyezi Mungu alikuwa amewaua kati yao, kwa kuwa Mwenyezi Mungu alikuwa ameleta hukumu juu ya miungu yao. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu4 waliokuwa wakizika wazaliwa wao wa kwanza wote, ambao bwana alikuwa amewaua katikati yao, kwa kuwa bwana alikuwa ameleta hukumu juu ya miungu yao. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI4 hapo Wamisri walipokuwa wanazika wazaliwa wa kwanza wao wote, BWANA aliokuwa amewapiga kati yao; BWANA akafanya hukumu juu ya miungu yao nayo. Tazama sura |