Hesabu 32:19 - Swahili Revised Union Version19 Kwa kuwa sisi hatutarithi pamoja nao huko ng'ambo ya pili ya Yordani, huko mbele; kwa sababu urithi wetu umetuangukia upande huu wa Yordani mwa mashariki. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema19 Hatutamiliki mali yoyote miongoni mwao ngambo ya mto Yordani, kwa sababu sisi tumepata maeneo yetu ngambo hii, mashariki ya mto Yordani.” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND19 Hatutamiliki mali yoyote miongoni mwao ngambo ya mto Yordani, kwa sababu sisi tumepata maeneo yetu ngambo hii, mashariki ya mto Yordani.” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza19 Hatutamiliki mali yoyote miongoni mwao ng'ambo ya mto Yordani, kwa sababu sisi tumepata maeneo yetu ng'ambo hii, mashariki ya mto Yordani.” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu19 Hatutapokea urithi wowote pamoja nao ng’ambo ya Yordani, kwa sababu urithi wetu umekuja kwetu upande wa mashariki mwa Yordani.” Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu19 Hatutapokea urithi wowote pamoja nao ng’ambo ya Yordani, kwa sababu urithi wetu umekuja kwetu upande wa mashariki ya Yordani.” Tazama suraBIBLIA KISWAHILI19 Kwa kuwa sisi hatutarithi pamoja nao huko ng'ambo ya pili ya Yordani, huko mbele; kwa sababu urithi wetu umetuangukia upande huu wa mashariki mwa Yordani. Tazama sura |