Hesabu 32:15 - Swahili Revised Union Version15 Kwa kuwa mkigeuka msimfuate, yeye atawaacha tena nyikani; nanyi mtawaangamiza watu hawa wote. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema15 Kama nyinyi mkikataa kumfuata, yeye atawaacheni tena jangwani, nanyi mtasababisha watu hawa wote waangamie.” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND15 Kama nyinyi mkikataa kumfuata, yeye atawaacheni tena jangwani, nanyi mtasababisha watu hawa wote waangamie.” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza15 Kama nyinyi mkikataa kumfuata, yeye atawaacheni tena jangwani, nanyi mtasababisha watu hawa wote waangamie.” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu15 Mkigeuka na kuacha kumfuata, atawaacha tena watu hawa wote jangwani, na mtakuwa sababu ya maangamizi yao.” Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu15 Kama mkigeuka na mkiacha kumfuata, atawaacha tena watu hawa wote jangwani, na mtakuwa sababu ya maangamizi yao.” Tazama suraBIBLIA KISWAHILI15 Kwa kuwa mkigeuka msimfuate, yeye atawaacha tena nyikani; nanyi mtawaangamiza watu hawa wote. Tazama sura |