Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Hesabu 31:10 - Swahili Revised Union Version

10 Na miji yao yote, kila mahali walipokuwa wakikaa, na kambi yao yote wakayateketeza kwa moto.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

10 Miji yao yote, makazi yao na kambi zao zote waliziteketeza kwa moto.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

10 Miji yao yote, makazi yao na kambi zao zote waliziteketeza kwa moto.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

10 Miji yao yote, makazi yao na kambi zao zote waliziteketeza kwa moto.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

10 Walichoma moto miji yote ambayo Wamidiani walikuwa wanaishi, pamoja na kambi zao zote.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

10 Walichoma moto miji yote ambayo Wamidiani walikuwa wanaishi, pamoja na kambi zao zote.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

10 Na miji yao yote, kila mahali walipokuwa wakikaa, na kambi zao zote wakayateketeza kwa moto.

Tazama sura Nakili




Hesabu 31:10
8 Marejeleo ya Msalaba  

Hao ndio wana wa Ishmaeli, na hayo ni majina yao, katika miji yao, na katika vituo vyao, maseyidi kumi na wawili kwa kufuata jamaa zao.


Farao, mfalme wa Misri, alikuwa amepanda akautwaa Gezeri, na kuuteketeza kwa moto, akawaua Wakanaani waliokaa mjini, akampa zawadi binti yake, mkewe Sulemani.


Nchi yenu ni ukiwa; miji yenu imeteketezwa kwa moto; nchi yenu, wageni wameila mbele ya macho yenu; nayo ni ukiwa, kana kwamba imeangamizwa na wageni.


Nao wakatwaa hizo nyara zote, na mateka yote, ya wanadamu na ya wanyama.


Wana wa Israeli wakawachukua mateka wanawake wa Midiani na watoto wao; na ng'ombe zao wote, na kondoo zao wote, na mali zao zote, wakachukua nyara.


Kisha wakauteketeza mji kwa moto, na vitu vyote vilivyokuwa ndani yake; bali fedha, na dhahabu, na vyombo vya shaba, na vya chuma, wakavitia katika hazina ya nyumba ya BWANA.


Kwa sababu hiyo mapigo yake yatakuja katika siku moja, mauti, na huzuni, na njaa, naye atateketezwa kabisa kwa moto. Kwa maana Bwana Mungu aliyemhukumu ni mwenye nguvu.


Ikawa, Daudi na watu wake walipokuwa wamefika Siklagi siku ya tatu, hao Waamaleki walikuwa wameshambulia Negebu, na Siklagi, nao wameupiga Siklagi, na kuuchoma moto;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo