Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Hesabu 3:39 - Swahili Revised Union Version

39 Hao wote waliohesabiwa katika Walawi, ambao Musa na Haruni waliwahesabu kwa amri ya BWANA, kwa jamaa zao, wanaume wote kuanzia umri wa mwezi mmoja na zaidi, walikuwa elfu ishirini na mbili.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

39 Idadi ya Walawi kulingana na familia zao, wanaume wote kuanzia watoto wenye umri wa mwezi mmoja na zaidi ambao Mose na Aroni waliwahesabu kwa amri ya Mwenyezi-Mungu, ilikuwa watu 22,000.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

39 Idadi ya Walawi kulingana na familia zao, wanaume wote kuanzia watoto wenye umri wa mwezi mmoja na zaidi ambao Mose na Aroni waliwahesabu kwa amri ya Mwenyezi-Mungu, ilikuwa watu 22,000.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

39 Idadi ya Walawi kulingana na familia zao, wanaume wote kuanzia watoto wenye umri wa mwezi mmoja na zaidi ambao Mose na Aroni waliwahesabu kwa amri ya Mwenyezi-Mungu, ilikuwa watu 22,000.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

39 Jumla ya hesabu ya Walawi waliohesabiwa na Musa na Haruni kwa amri ya Mwenyezi Mungu, kufuatana na koo zao, pamoja na kila mwanaume mwenye umri wa mwezi mmoja au zaidi, walikuwa elfu ishirini na mbili.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

39 Jumla ya hesabu ya Walawi waliohesabiwa na Musa na Haruni kwa amri ya bwana, kufuatana na koo, pamoja na kila mume mwenye umri wa mwezi mmoja au zaidi, walikuwa 22,000.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

39 Hao wote waliohesabiwa katika Walawi, ambao Musa na Haruni waliwahesabu kwa amri ya BWANA, kwa jamaa zao, wanaume wote kuanzia umri wa mwezi mmoja na zaidi, walikuwa elfu ishirini na mbili.

Tazama sura Nakili




Hesabu 3:39
4 Marejeleo ya Msalaba  

Na hao waliohesabiwa kwao walikuwa elfu ishirini na tatu, kila mwanamume tangu huyo aliyepata umri wa mwezi mmoja, na zaidi; kwa kuwa hawakuhesabiwa katika wana wa Israeli, kwa sababu hawakupewa urithi katika wana wa Israeli.


Wazaliwa wa kwanza wote walio wanaume kwa hesabu ya majina, kuanzia umri wa mwezi mmoja na zaidi, katika hao waliohesabiwa kwao, walikuwa elfu ishirini na mbili na mia mbili na sabini na watatu.


Bali mlango ni mwembamba, na njia imebana iendayo uzimani, nao waionao ni wachache.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo