Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Hesabu 28:4 - Swahili Revised Union Version

4 Mwana-kondoo mmoja utamsongeza asubuhi, na mwana-kondoo wa pili utamsongeza jioni;

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

4 Mwanakondoo mmoja atatolewa asubuhi na wa pili jioni;

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

4 Mwanakondoo mmoja atatolewa asubuhi na wa pili jioni;

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

4 Mwanakondoo mmoja atatolewa asubuhi na wa pili jioni;

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

4 Andaa mwana-kondoo mmoja asubuhi na mwingine jioni,

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

4 Andaa mwana-kondoo mmoja asubuhi na mwingine jioni,

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

4 Mwana-kondoo mmoja utamsongeza asubuhi, na mwana-kondoo wa pili utamsongeza jioni;

Tazama sura Nakili




Hesabu 28:4
12 Marejeleo ya Msalaba  

Ikawa, wakati wa adhuhuri ulipopita, walitabiri hata wakati wa kutoa dhabihu ya jioni; lakini hapakuwa na sauti, wala aliyejibu, wala aliyeangalia.


Ikawa, wakati wa kutoa dhabihu ya jioni, Eliya nabii akakaribia, akasema, Ee BWANA, Mungu wa Abrahamu, na wa Isaka, na wa Israeli, na ijulikane leo ya kuwa wewe ndiwe Mungu katika Israeli, na ya kuwa mimi ni mtumishi wako, na ya kuwa nimefanya mambo haya yote kwa neno lako.


ili kumtolea BWANA sadaka za kuteketezwa juu ya madhabahu ya sadaka ya kuteketezwa daima asubuhi na jioni, naam, kulingana na yote yaliyoandikwa katika Torati ya BWANA, aliyowaamuru Israeli;


Sala yangu ipae mbele zako kama uvumba, Kuinuliwa mikono yangu kama dhabihu ya jioni.


Nanyi mtamweka hata siku ya kumi na nne ya mwezi ule ule; na kusanyiko lote la mkutano wa Israeli watamchinja jioni.


naam, nilipokuwa nikinena katika kuomba, mtu yule, Gabrieli, niliyemwona katika njozi hapo kwanza, akirushwa upesi, alinigusa panapo wakati wa dhabihu ya jioni.


Jikazeni mkaomboleze, enyi makuhani; Pigeni yowe, enyi wahudumu wa madhabahu; Njooni mlale usiku kucha katika magunia, Enyi wahudumu wa Mungu wangu; Kwa kuwa sadaka ya unga na sadaka ya kinywaji Zimezuiwa katika nyumba ya Mungu wenu.


Ikiwa mtu atamtoa mwana-kondoo kama matoleo yake, ndipo atakapomleta mbele za BWANA;


Nawe utawaambia, Hii ndiyo sadaka isongezwayo kwa moto mtakayomsogezea BWANA; wana-kondoo dume wawili wa mwaka mmoja wakamilifu, kila siku, wawe sadaka ya kuteketezwa ya sikuzote.


pamoja na sehemu ya kumi ya efa ya unga laini kuwa sadaka ya unga, uliochanganywa na robo ya hini ya mafuta ya kupondwa.


Siku ya kumi na nne ya mwezi huu, wakati wa jioni, mtaiadhimisha kwa wakati wake ulioagizwa; kwa amri zake zote, na kama hukumu zake zote zilivyo, ndivyo mtakavyoisherehekea.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo