Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Hesabu 27:8 - Swahili Revised Union Version

8 Kisha utanena na wana wa Israeli, na kuwaambia, Mtu akifa, naye hana mwana wa kiume, ndipo binti yake atapewa urithi wake.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

8 Kisha waambie Waisraeli kwamba mtu yeyote akifa bila kuacha mtoto wa kiume, urithi wake atapewa binti yake.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

8 Kisha waambie Waisraeli kwamba mtu yeyote akifa bila kuacha mtoto wa kiume, urithi wake atapewa binti yake.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

8 Kisha waambie Waisraeli kwamba mtu yeyote akifa bila kuacha mtoto wa kiume, urithi wake atapewa binti yake.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

8 “Waambie Waisraeli, ‘Ikiwa mtu atakufa naye hakuacha mwana, utampa binti yake urithi wake.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

8 “Waambie Waisraeli, ‘Ikiwa mtu atakufa naye hakuacha mwana, utampa binti yake urithi wake.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

8 Kisha utanena na wana wa Israeli, na kuwaambia, Mtu akifa, naye hana mwana wa kiume, ndipo binti yake atapewa urithi wake.

Tazama sura Nakili




Hesabu 27:8
2 Marejeleo ya Msalaba  

Hao binti za Selofehadi wananena lililo haki; kweli utawapa milki ya urithi pamoja na ndugu za baba yao; nawe utawapa urithi wa baba yao.


Tena ikiwa hana binti, mtawapa nduguze urithi wake.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo