Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Hesabu 27:13 - Swahili Revised Union Version

13 Na ukiisha kuiona, wewe nawe utakusanyika pamoja na baba zako, kama Haruni ndugu yako alivyokusanyika;

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

13 Ukisha iona, nawe pia utafariki kama ndugu yako Aroni alivyofariki,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

13 Ukisha iona, nawe pia utafariki kama ndugu yako Aroni alivyofariki,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

13 Ukisha iona, nawe pia utafariki kama ndugu yako Aroni alivyofariki,

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

13 Baada ya kuiona, wewe pia utakusanywa pamoja na watu wako kama ndugu yako Haruni alivyokusanywa,

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

13 Baada ya kuiona, wewe pia utakusanywa pamoja na watu wako kama ndugu yako Haruni alivyokusanywa,

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

13 Na ukiisha kuiona, wewe nawe utakusanyika pamoja na baba zako, kama Haruni ndugu yako alivyokusanyika;

Tazama sura Nakili




Hesabu 27:13
11 Marejeleo ya Msalaba  

Ishmaeli aliishi miaka mia moja na thelathini na saba. Akakata roho, akafa, akakusanyika kwa watu wake.


Abrahamu akafariki, naye akafa katika uzee mwema, mzee sana, ameshiba siku, akakusanyika kwa watu wake.


Walipizie kisasi wana wa Israeli juu ya Wamidiani; kisha baadaye utakusanywa uwe pamoja na watu wako.


Haruni akakwea mlima wa Hori, kwa amri ya BWANA, akafa hapo, katika mwaka wa arubaini baada ya wana wa Israeli kutoka katika nchi ya Misri, mwezi wa tano, siku ya kwanza ya mwezi.


Na BWANA alinikasirikia mimi kwa ajili yenu, akasema, Wala wewe hutaingia humo;


(Wana wa Israeli wakasafiri kutoka visima vya Bene-yaakani kwenda Mosera; Haruni akafa huko, akazikwa huko; na Eleazari mwanawe akahudumu kama kuhani badala yake.


BWANA akamwambia Musa, Tazama, siku zako za kufa zinakaribia, umwite Yoshua, nanyi mkajihudhurishe katika hema ya kukutania, ili nipate kumwagiza kazi. Musa na Yoshua wakaenda, wakajihudhurisha ndani ya hema ya kukutania.


BWANA akamwambia Musa, Angalia, wewe utalala na baba zako; na watu hawa wataondoka, wataifuata kwa ukahaba miungu ya kigeni ya nchi waiendeayo kuwa kati yao, nao wataniacha mimi na kulivunja agano langu, nililofanya nao.


ukafe katika kilima, huko ukweako, ukusanywe uwe pamoja na jamaa zako; kama alivyokufa nduguyo Haruni katika mlima wa Hori, akakusanywa awe pamoja na watu wake;


Lakini mimi nitakufa katika nchi hii, sina ruhusa kuvuka Yordani; bali ninyi mtavuka, na kuimiliki nchi ile njema.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo