Hesabu 24:16 - Swahili Revised Union Version16 Asema, yeye asikiaye maneno ya Mungu, Na kuyajua maarifa yake Aliye Juu. Yeye aonaye maono ya Mwenyezi, Akianguka kifudifudi, amefumbuliwa macho, Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema16 kauli ya mtu aliyesikia maneno ya Mungu, na mtu ajuaye maarifa ya Mungu Mkuu, mtu aonaye maono ya Mungu Mwenye Nguvu, mtu anayesujudu, macho wazi. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND16 kauli ya mtu aliyesikia maneno ya Mungu, na mtu ajuaye maarifa ya Mungu Mkuu, mtu aonaye maono ya Mungu Mwenye Nguvu, mtu anayesujudu, macho wazi. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza16 kauli ya mtu aliyesikia maneno ya Mungu, na mtu ajuaye maarifa ya Mungu Mkuu, mtu aonaye maono ya Mungu Mwenye Nguvu, mtu anayesujudu, macho wazi. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu16 ujumbe wake yeye ambaye husikia maneno ya Mungu, mwenye maarifa kutoka kwa Aliye Juu Sana, aonaye maono kutoka kwa Mwenyezi, na kuanguka kifudifudi nayo macho yake yamefunguliwa: Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu16 ujumbe wake yeye ambaye husikia maneno ya Mungu, ambaye ana maarifa kutoka kwa Aliye Juu Sana, huona maono kutoka Mwenyezi, ambaye huanguka kifudifudi na ambaye macho yake yamefunguka: Tazama suraBIBLIA KISWAHILI16 Asema, yeye asikiaye maneno ya Mungu, Na kuyajua maarifa yake Aliye Juu. Yeye aonaye maono ya Mwenyezi, Akianguka kifudifudi, amefumbuliwa macho, Tazama sura |