Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Hesabu 23:22 - Swahili Revised Union Version

22 Mungu amewaleta kutoka Misri, Naye ana nguvu kama nguvu za nyati.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

22 Mungu aliyewachukua kutoka Misri, huwapigania kwa nguvu kama za nyati.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

22 Mungu aliyewachukua kutoka Misri, huwapigania kwa nguvu kama za nyati.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

22 Mungu aliyewachukua kutoka Misri, huwapigania kwa nguvu kama za nyati.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

22 Mungu aliwatoa kutoka Misri; wao wana nguvu kama za nyati.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

22 Mungu aliwatoa kutoka Misri; wao wana nguvu za nyati.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

22 Mungu amewaleta kutoka Misri, Naye ana nguvu kama nguvu za nyati.

Tazama sura Nakili




Hesabu 23:22
14 Marejeleo ya Msalaba  

Kinywani mwa simba uniokoe; Naam, toka pembe za nyati umenijibu.


Mungu ni mwenye kutisha Kutoka patakatifu pako. Ndiye Mungu wa Israeli; Yeye huwapa watu wake nguvu na uwezo. Na ahimidiwe Mungu.


Bali pembe yangu umeiinua kama pembe ya nyati, Nimepakwa mafuta mabichi.


Ilikuwa mwisho wa miaka hiyo mia nne na thelathini, ilikuwa siku ile ile, majeshi yote ya BWANA yalitoka nchi ya Misri.


Ilikuwa siku ile ile moja, BWANA akawatoa wana wa Israeli katika nchi ya Misri kwa majeshi yao.


Na Wamisri watajua ya kuwa mimi ndimi BWANA, nitakapokwisha kujipatia utukufu kwa Farao, na magari yake, na farasi wake.


Mimi ni BWANA, Mungu wako, niliyekutoa katika nchi ya Misri, katika nyumba ya utumwa.


lakini, nilikusimamisha wewe kwa sababu ii hii, ili nikuoneshe uweza wangu, tena kwamba jina langu litangazwe katika dunia yote.


Na nyati watateremka pamoja nao, na ndama pamoja na mafahali, na nchi yao italewa kwa damu, na mavumbi yake yatanoneshwa kwa shahamu.


Basi akatuma wajumbe kwa Balaamu mwana wa Beori, hadi Pethori, ulio kando ya Mto, mpaka nchi ya wana wa watu wake, kwenda kumwita, akisema, Tazama, kuna watu waliotoka Misri; tazama, wanaufunika uso wa nchi, tena wanakaa kunikabili mimi.


Mungu amemleta kutoka Misri, Ana nguvu mfano wa nguvu za nyati; Atawameza mataifa walio adui zake, Ataivunja mifupa yao vipande vipande. Atawachoma kwa mishale yake.


Mzaliwa wa kwanza wa ng'ombe wake mume, enzi ni yake; Na pembe zake ni pembe za nyati; Kwa hizo atayasukuma mataifa yote, hata ncha za nchi; Nao ni makumi ya maelfu ya Efraimu, Nao ni maelfu ya Manase.


Maana tumesikia jinsi BWANA alivyoyakausha maji ya Bahari ya Shamu mbele yenu, hapo mlipotoka Misri, tena mambo hayo mliyowatendea wafalme wawili wa Waamori waliokuwa huko ng'ambo ya Yordani, yaani, Sihoni na Ogu, mliowaangamiza kabisa.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo