Hesabu 23:21 - Swahili Revised Union Version21 Hakutazama uovu katika Yakobo, Wala hakuona ukaidi katika Israeli. BWANA, Mungu wake, yu pamoja naye, Na sauti kuu ya mfalme iko katikati yao. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema21 Mwenyezi-Mungu hajaona ubaya kwa wana wa Yakobo, wala udhia kwa hao wana wa Israeli. Mwenyezi-Mungu Mungu wao yuko pamoja nao, Yeye husifiwa kwa vifijo miongoni mwao, yeye huzipokea sifa zao za kifalme. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND21 Mwenyezi-Mungu hajaona ubaya kwa wana wa Yakobo, wala udhia kwa hao wana wa Israeli. Mwenyezi-Mungu Mungu wao yuko pamoja nao, Yeye husifiwa kwa vifijo miongoni mwao, yeye huzipokea sifa zao za kifalme. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza21 Mwenyezi-Mungu hajaona ubaya kwa wana wa Yakobo, wala udhia kwa hao wana wa Israeli. Mwenyezi-Mungu Mungu wao yuko pamoja nao, Yeye husifiwa kwa vifijo miongoni mwao, yeye huzipokea sifa zao za kifalme. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu21 “Haijaonekana bahati mbaya katika Yakobo, wala taabu katika Israeli. Mwenyezi Mungu, Mungu wao, yu pamoja nao, nayo sauti kuu ya Mfalme imo kati yao. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu21 “Haijaonekana bahati mbaya katika Yakobo, wala taabu katika Israeli. bwana, Mungu wao yu pamoja nao, nayo sauti kuu ya Mfalme imo katikati yao. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI21 Hakutazama uovu katika Yakobo, Wala hakuona ukaidi katika Israeli. BWANA, Mungu wake, yu pamoja naye, Na sauti kuu ya mfalme iko katikati yao. Tazama sura |