Hesabu 23:16 - Swahili Revised Union Version16 BWANA akaonana na Balaamu akatia neno kinywani mwake, akasema, Umrudie Balaki, ukaseme hivi. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema16 Mwenyezi-Mungu akakutana na Balaamu, akampa maneno atakayosema, na kumwambia arudi kwa Balaki. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND16 Mwenyezi-Mungu akakutana na Balaamu, akampa maneno atakayosema, na kumwambia arudi kwa Balaki. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza16 Mwenyezi-Mungu akakutana na Balaamu, akampa maneno atakayosema, na kumwambia arudi kwa Balaki. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu16 Mwenyezi Mungu akakutana na Balaamu, akaweka ujumbe katika kinywa chake akasema, “Rudi kwa Balaki umpe ujumbe huu.” Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu16 bwana akakutana na Balaamu, akaweka ujumbe katika kinywa chake akasema, “Rudi kwa Balaki umpe ujumbe huu.” Tazama suraBIBLIA KISWAHILI16 BWANA akaonana na Balaamu akatia neno kinywani mwake, akasema, Umrudie Balaki, ukaseme hivi. Tazama sura |