Hesabu 23:15 - Swahili Revised Union Version15 Akamwambia Balaki, Simama hapa karibu na sadaka yako ya kuteketezwa, nami nitaonana na BWANA kule. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema15 Balaamu akamwambia Balaki, “Baki hapa karibu na sadaka yako ya kuteketezwa, nami niende kule ngambo kukutana na Mwenyezi-Mungu.” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND15 Balaamu akamwambia Balaki, “Baki hapa karibu na sadaka yako ya kuteketezwa, nami niende kule ngambo kukutana na Mwenyezi-Mungu.” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza15 Balaamu akamwambia Balaki, “Baki hapa karibu na sadaka yako ya kuteketezwa, nami niende kule ng'ambo kukutana na Mwenyezi-Mungu.” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu15 Balaamu akamwambia Balaki, “Kaa hapa kando ya sadaka yako wakati ninapoenda kuonana na Mungu kule.” Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu15 Balaamu akamwambia Balaki, “Kaa hapa kando ya sadaka yako wakati ninapokwenda kuonana na Mungu kule.” Tazama suraBIBLIA KISWAHILI15 Akamwambia Balaki, Simama hapa karibu na sadaka yako ya kuteketezwa, nami nitaonana na BWANA kule. Tazama sura |