Hesabu 22:8 - Swahili Revised Union Version8 Akawaambia, Kaeni hapa usiku huu, nami nitawaletea jawabu kama BWANA atakavyoniambia; wakuu wa Moabu wakakaa na Balaamu. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema8 Balaamu akawaambia, “Laleni huku usiku huu, nami nitawajulisheni atakayoniambia Mwenyezi-Mungu.” Basi, wazee hao wa Moabu wakakaa na Balaamu. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND8 Balaamu akawaambia, “Laleni huku usiku huu, nami nitawajulisheni atakayoniambia Mwenyezi-Mungu.” Basi, wazee hao wa Moabu wakakaa na Balaamu. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza8 Balaamu akawaambia, “Laleni huku usiku huu, nami nitawajulisheni atakayoniambia Mwenyezi-Mungu.” Basi, wazee hao wa Moabu wakakaa na Balaamu. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu8 Balaamu akawaambia, “Mlale hapa usiku huu, nami nitawaletea jibu lile Mwenyezi Mungu atakalonipa.” Kwa hiyo wakuu wa Moabu wakakaa naye. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu8 Balaamu akawaambia, “Mlale hapa usiku huu, nami nitawaletea jibu lile bwana atakalonipa.” Kwa hiyo wakuu wa Moabu wakakaa naye. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI8 Akawaambia, Kaeni hapa usiku huu, nami nitawaletea jawabu kama BWANA atakavyoniambia; wakuu wa Moabu wakakaa na Balaamu. Tazama sura |