Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Hesabu 22:33 - Swahili Revised Union Version

33 punda akaniona, akageuka upande mbele zangu mara tatu hizi; kama asingejiepusha nami, bila shaka ningalikuua wewe, nikamwacha yeye hai.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

33 Punda wako ameniona akaniepa mara hizi tatu. Kama asingaligeuka mbali nami hakika ningalikuua wewe na kumwacha hai punda huyu.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

33 Punda wako ameniona akaniepa mara hizi tatu. Kama asingaligeuka mbali nami hakika ningalikuua wewe na kumwacha hai punda huyu.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

33 Punda wako ameniona akaniepa mara hizi tatu. Kama asingaligeuka mbali nami hakika ningalikuua wewe na kumwacha hai punda huyu.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

33 Punda aliniona na kunikwepa mara hizi tatu. Kama punda hangenikwepa, hakika ningekuwa nimeshakuua sasa, lakini ningemwacha punda hai.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

33 Punda aliniona na kunikwepa mara hizi tatu. Kama punda hangenikwepa, hakika ningekuwa nimeshakuua sasa, lakini ningemwacha punda hai.”

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

33 punda akaniona, akageuka upande mbele zangu mara tatu hizi; kama asingejiepusha nami, bila shaka ningalikuua wewe, nikamwacha yeye hai.

Tazama sura Nakili




Hesabu 22:33
5 Marejeleo ya Msalaba  

watu hao walioileta habari mbaya ya nchi wakafa kwa tauni mbele ya BWANA.


Malaika wa BWANA akamwambia, Mbona umempiga punda wako mara tatu hizi? Tazama mimi nimekuja ili kukupinga, kwa sababu njia yako imepotoka mbele zangu,


Balaamu akamwambia malaika wa BWANA, Nimefanya dhambi; maana sikujua ya kuwa wewe umesimama njiani ili kunipinga; basi sasa, ikiwa umechukizwa, nitarudi tena.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo