Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Hesabu 22:21 - Swahili Revised Union Version

21 Balaamu akaondoka asubuhi, akatandika punda wake, akaenda pamoja na wakuu wa Moabu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

21 Balaamu akaamka asubuhi, akatandika punda wake, akaenda pamoja na hao maofisa.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

21 Balaamu akaamka asubuhi, akatandika punda wake, akaenda pamoja na hao maofisa.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

21 Balaamu akaamka asubuhi, akatandika punda wake, akaenda pamoja na hao maofisa.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

21 Balaamu akaamka asubuhi, akatandika punda wake akaenda pamoja na wakuu wa Moabu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

21 Balaamu akaamka asubuhi, akatandika punda wake akaenda pamoja na wakuu wa Moabu.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

21 Balaamu akaondoka asubuhi, akatandika punda wake, akaenda pamoja na wakuu wa Moabu.

Tazama sura Nakili




Hesabu 22:21
5 Marejeleo ya Msalaba  

Abrahamu akaondoka alfajiri, akatandika punda wake, akachukua vijana wawili pamoja naye, na Isaka mwanawe, akachanja kuni kwa ajili ya hiyo sadaka ya kuteketezwa, akaondoka, akaenda mpaka mahali alipoambiwa na Mungu.


Aendaye kwa unyofu ataokolewa; Bali mkaidi wa njia zake ataanguka mara.


wakiiacha njia iliyonyoka, wakapotea, wakiifuata njia ya Balaamu, mwana wa Beori, aliyependa ujira wa udhalimu;


lakini alikaripiwa kwa uhalifu wake mwenyewe; punda, asiyeweza kusema, akinena kwa sauti ya kibinadamu, aliuzuia wazimu wa nabii yule.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo