Hesabu 22:12 - Swahili Revised Union Version12 Mungu akamwambia Balaamu, Usiende pamoja nao; wala usiwalaani watu hawa, maana wamebarikiwa. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema12 Mungu akamwambia Balaamu, “Usiende pamoja na watu hawa, wala usiwalaani watu hao maana wamebarikiwa.” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND12 Mungu akamwambia Balaamu, “Usiende pamoja na watu hawa, wala usiwalaani watu hao maana wamebarikiwa.” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza12 Mungu akamwambia Balaamu, “Usiende pamoja na watu hawa, wala usiwalaani watu hao maana wamebarikiwa.” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu12 Lakini Mungu akamwambia Balaamu, “Usiende pamoja nao. Hupaswi kulaani watu hao, kwa kuwa wamebarikiwa.” Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu12 Lakini bwana akamwambia Balaamu, “Usiende pamoja nao. Hupaswi kulaani watu hao, kwa kuwa wamebarikiwa.” Tazama suraBIBLIA KISWAHILI12 Mungu akamwambia Balaamu, Usiende pamoja nao; wala usiwalaani watu hawa, maana wamebarikiwa. Tazama sura |