Hesabu 20:4 - Swahili Revised Union Version4 Mbona mmewaleta kusanyiko la BWANA hadi jangwani hili ili tufe huku, sisi na wanyama wetu? Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema4 Kwa nini mlituleta sisi jumuiya ya Mwenyezi-Mungu huku jangwani? Je, mlituleta ili tufe pamoja na mifugo yetu? Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND4 Kwa nini mlituleta sisi jumuiya ya Mwenyezi-Mungu huku jangwani? Je, mlituleta ili tufe pamoja na mifugo yetu? Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza4 Kwa nini mlituleta sisi jumuiya ya Mwenyezi-Mungu huku jangwani? Je, mlituleta ili tufe pamoja na mifugo yetu? Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu4 Kwa nini mmewaleta jumuiya ya Mwenyezi Mungu kwenye jangwa hili, ili tufe humu, sisi na mifugo yetu? Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu4 Kwa nini mmeileta jumuiya ya bwana kwenye jangwa hili, ili tufe humu, sisi na mifugo yetu? Tazama suraBIBLIA KISWAHILI4 Mbona mmewaleta kusanyiko la BWANA hadi jangwa hili ili tufe huku, sisi na wanyama wetu? Tazama sura |