Hesabu 20:3 - Swahili Revised Union Version3 Watu wakashindana na Musa, wakanena, wakisema, Ingekuwa heri kama tungekufa wakati ule ndugu zetu walipokufa mbele za BWANA! Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema3 Waliwalalamikia wote wakisema, “Afadhali tungekufa pamoja na ndugu zetu mbele ya hema la Mwenyezi-Mungu! Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND3 Waliwalalamikia wote wakisema, “Afadhali tungekufa pamoja na ndugu zetu mbele ya hema la Mwenyezi-Mungu! Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza3 Waliwalalamikia wote wakisema, “Afadhali tungekufa pamoja na ndugu zetu mbele ya hema la Mwenyezi-Mungu! Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu3 Watu wakagombana na Musa, na kusema, “Laiti tungekufa ndugu zetu walipokufa mbele za Mwenyezi Mungu! Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu3 Watu wakagombana na Musa, na kusema, “Laiti tungelikufa wakati ndugu zetu walipoanguka na kufa mbele za bwana! Tazama suraBIBLIA KISWAHILI3 Watu wakashindana na Musa, wakanena, wakisema, Ingekuwa heri kama tungekufa wakati ule ndugu zetu walipokufa mbele za BWANA! Tazama sura |