Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Hesabu 16:8 - Swahili Revised Union Version

8 Musa akamwambia Kora, Sikilizeni basi, enyi Wana wa Lawi;

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

8 Mose akaendelea kumwambia Kora, “Sikilizeni, enyi Walawi!

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

8 Mose akaendelea kumwambia Kora, “Sikilizeni, enyi Walawi!

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

8 Mose akaendelea kumwambia Kora, “Sikilizeni, enyi Walawi!

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

8 Pia Musa akamwambia Kora, “Enyi Walawi! Sasa nisikilizeni.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

8 Pia Musa akamwambia Kora, “Enyi Walawi! Sasa nisikilizeni.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

8 Musa akamwambia Kora, Sikilizeni basi, enyi Wana wa Lawi;

Tazama sura Nakili




Hesabu 16:8
3 Marejeleo ya Msalaba  

vitieni na moto, mkaweke na uvumba juu yake mbele za BWANA kesho; kisha itakuwa ya kwamba mtu atakayechaguliwa na BWANA, yeye atakuwa mtakatifu; inawatosha ninyi, enyi wana wa Lawi.


Je! Mwaona kuwa ni jambo dogo kwenu, kuwa Mungu wa Israeli amewatenga ninyi na mkutano wa Israeli, ili apate kuwakaribisha kwake; ili mhudumu katika maskani ya BWANA, na kusimama mbele ya mkutano ili kuwatumikia;


Basi Mika akamweka wakfu huyo Mlawi, huyo kijana, naye akawa kuhani wake, akakaa nyumbani mwa Mika.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo