Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Hesabu 15:23 - Swahili Revised Union Version

23 hayo yote BWANA aliyowaagiza kwa mkono wa Musa, tangu siku hiyo BWANA aliyoleta maagizo, na baadaye katika vizazi vyenu

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

23 kama siku zijazo watu hawatafuata yote ambayo mimi Mwenyezi-Mungu nimemwamuru Mose,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

23 kama siku zijazo watu hawatafuata yote ambayo mimi Mwenyezi-Mungu nimemwamuru Mose,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

23 kama siku zijazo watu hawatafuata yote ambayo mimi Mwenyezi-Mungu nimemwamuru Mose,

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

23 amri yoyote ya Mwenyezi Mungu kwenu kupitia Musa, tangu siku ile Mwenyezi Mungu alipowapa na inaendelea hadi vizazi vyote vijavyo;

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

23 amri yoyote ya bwana kwenu kupitia Musa, tangu siku ile bwana alipowapa na inaendelea hadi vizazi vyote vijavyo;

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

23 hayo yote BWANA aliyowaagiza kwa mkono wa Musa, tangu siku hiyo BWANA aliyoleta maagizo, na baadaye katika vizazi vyenu

Tazama sura Nakili




Hesabu 15:23
2 Marejeleo ya Msalaba  

Tena mtakapokosa, msiyashike maagizo hayo yote BWANA aliyomwambia Musa,


ndipo itakapokuwa, kama ni kosa lililofanywa pasipo kujua, wala mkutano haukuwa na fahamu, ndipo mkutano wote utasongeza ng'ombe dume mdogo mmoja kuwa sadaka ya kuteketezwa, kuwa harufu ya kupendeza kwa BWANA, pamoja na sadaka yake ya unga, na sadaka yake ya kinywaji, kama amri ilivyo, na mbuzi dume mmoja kuwa sadaka ya dhambi.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo