Hesabu 15:11 - Swahili Revised Union Version11 Ndivyo itakavyofanywa kwa kila ng'ombe, au kwa kila kondoo dume, au kwa kila mwana-kondoo dume, au kila mwana-mbuzi. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema11 “Hivyo ndivyo vitu vitakavyotolewa pamoja na kila fahali, kondoo dume au mbuzi. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND11 “Hivyo ndivyo vitu vitakavyotolewa pamoja na kila fahali, kondoo dume au mbuzi. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza11 “Hivyo ndivyo vitu vitakavyotolewa pamoja na kila fahali, kondoo dume au mbuzi. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu11 Kila fahali au kondoo dume, kila mwana-kondoo au mbuzi mchanga, atatayarishwa kwa njia hii. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu11 Kila fahali au kondoo dume, kila mwana-kondoo au mbuzi mchanga, atatayarishwa kwa njia hii. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI11 Ndivyo itakavyofanywa kwa kila ng'ombe, au kwa kila kondoo dume, au kwa kila mwana-kondoo dume, au kila mwana-mbuzi. Tazama sura |