Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Hesabu 14:1 - Swahili Revised Union Version

1 Mkutano wote wakapaza sauti zao wakalia; watu wakatoka machozi usiku ule.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

1 Jumuiya yote ya Waisraeli ikaangua kilio kikubwa, watu wakalia usiku ule.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

1 Jumuiya yote ya Waisraeli ikaangua kilio kikubwa, watu wakalia usiku ule.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

1 Jumuiya yote ya Waisraeli ikaangua kilio kikubwa, watu wakalia usiku ule.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

1 Usiku ule watu wote wa jumuiya walipaza sauti zao na kulia kwa sauti kuu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

1 Usiku ule watu wote wa jumuiya walipaza sauti zao na kulia kwa sauti kuu.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

1 Mkutano wote wakapaza sauti zao wakalia; watu wakatokwa machozi usiku ule.

Tazama sura Nakili




Hesabu 14:1
13 Marejeleo ya Msalaba  

Bali wakanung'unika hemani mwao, Wala hawakuisikiliza sauti ya BWANA.


Pamoja na hayo wakazidi kutenda dhambi, Wala hawakuyaamini matendo yake ya ajabu.


Ilikuwa hapo Farao alipowaacha watu hao waende zao, Mungu hakuwaongoza kwa njia ya nchi ya Wafilisti, ijapokuwa ilikuwa ni ya karibu; maana Mungu alisema, Wasije wakabadili nia watu hawa hapo watakapokumbana na vita, na kurudi Misri;


Watu waliposikia habari hizo mbaya wakaomboleza wala hakuna mtu aliyevaa mapambo yake.


Katika kabila la Asheri, Sethuri mwana wa Mikaeli.


Kisha, huko tuliwaona Wanefili, wana wa Anaki, waliotoka kwa hao Wanefili; tukajiona nafsi zetu kuwa kama mapanzi; nao ndivyo walivyotuona sisi.


Kisha wana wa Israeli wote wakamnung'unikia Musa na Haruni; mkutano wote wakawaambia, Ingekuwa heri kama tungalikufa katika nchi ya Misri, au, ingekuwa heri kama tungalikufa katika jangwa hili.


Lakini hamkukubali kukwea huko, mliasi neno la BWANA, Mungu wenu;


Mkarudi mkalia mbele za BWANA; BWANA asiisikize sauti yenu, wala hakuelekeza masikio yake kwenu.


Na wakati alipowatuma BWANA kutoka Kadesh-barnea, akiwaambia, Kweeni mkaimiliki nchi niliyowapa; ndipo mkaasi juu ya maagizo ya BWANA, Mungu wenu, hamkumsadiki wala hamkusikiza sauti yake.


Lakini wale ndugu zangu waliokwea kwenda pamoja nami waliwavunja watu moyo; ila mimi nilimfuata BWANA, Mungu wangu, kwa utimilifu.


Ndipo Daudi na watu waliokuwa pamoja naye wakapaza sauti zao na kulia, hadi walipokuwa hawana nguvu za kulia tena.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo